Posts

Showing posts from April, 2018

HALI YA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI NCHINI YAIMARIKA

Image
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akitoa maelezo kuhusu hoja mbalimbali zilizowasilishwa kuhusu utoaji huduma ya maji nchini katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), kulia, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. January Makamba (Mb) washiriki katika mkutano wa   Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) hayupo pichani. PICHANI Kutoka kushoto;   Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembea (Mb), akifuatiwa na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mhe. January Makamba (Mb) na Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), wakisikiliza maswali kutoka kwa waandishi wa habari.  Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi I...

WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. MHANDISI KAMWELWE (MB) ASIKILIZA KERO ZA MAJI CHAMWINO

Image
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisaini kitabu cha wageni wilayani Chamwino kabla ya kutembelea miradi ya maji na kuwasikiliza wananchi. Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akitoa maelekezo baada ya kusikiliza changamoto na kero kutoka kwa wananchi kuhusu bwawa la maji la Ikoa-Chalinze  wilayani Chamwino mkoani Dodoma Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisalimiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kabla ya kutembelea miradi ya maji, na kuongea na wananchi katika wilaya hiyo . Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akienda kukagua bwawa la skimu ya umwagiliaji, Ikoa, lililopo katika kijiji cha Chalinze katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino .   Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Chilonwa Mhe. Joel M. Mwaka na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Vumilia J. Nyamoga w...