WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. MHANDISI KAMWELWE (MB) ASIKILIZA KERO ZA MAJI CHAMWINO
| Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisaini kitabu cha wageni wilayani Chamwino kabla ya kutembelea miradi ya maji na kuwasikiliza wananchi. |
| Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akienda kukagua bwawa la skimu ya umwagiliaji, Ikoa, lililopo katika kijiji cha Chalinze katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. |
Comments
Post a Comment