WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. MHANDISI KAMWELWE (MB) ASIKILIZA KERO ZA MAJI CHAMWINO




Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisaini kitabu cha wageni wilayani Chamwino kabla ya kutembelea miradi ya maji na kuwasikiliza wananchi.


Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akitoa maelekezo baada ya kusikiliza changamoto na kero kutoka kwa wananchi kuhusu bwawa la maji la Ikoa-Chalinze  wilayani Chamwino mkoani Dodoma
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisalimiana na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kabla ya kutembelea miradi ya maji, na kuongea na wananchi katika wilaya hiyo.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akienda kukagua bwawa la skimu ya umwagiliaji, Ikoa, lililopo katika kijiji cha Chalinze katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino. 
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Chilonwa Mhe. Joel M. Mwaka na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Bi. Vumilia J. Nyamoga wakati wakienda kuwasiliza wananchi katika eneo la Buigiri wilayani Chamwino mkoani Dodoma.   

Comments

Popular posts from this blog

CONSULTANCY SERVICES FOR DEVELOPMENT AND IMPLEMENTATION OF LABORATORY INFORMATION MANAGEMENT SYSTEM (LIMS)

WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI KUHAMIA KATIKA JENGO LAKE - PROF. MKUMBO