PROF. MKUMBO AONGOZA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI, BARAZA LAPITIA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA CHANGAMOTO

Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakisikiliza mada katika kikao kilichofanyika leo, Dodoma.  
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji na Umwagiliaji, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Prof. Kitila Mkumbo (kulia), pamoja na wajumbe wengine, akifuatilia mada wakati wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi leo, Dodoma.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakisikiliza utekelezaji wa mpango wa wizara leo, mkoani Dodoma

Comments

Popular posts from this blog

CONSULTANCY SERVICES FOR DEVELOPMENT AND IMPLEMENTATION OF LABORATORY INFORMATION MANAGEMENT SYSTEM (LIMS)

WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI MHE. MHANDISI KAMWELWE (MB) ASIKILIZA KERO ZA MAJI CHAMWINO

WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI KUHAMIA KATIKA JENGO LAKE - PROF. MKUMBO